October 6, 2024

Unayotakiwa kufanya ikiwa unaishi kwenye eneo lenye maambukizi makubwa ya COVI-19

Hakikisha unapata hewa safi, mazingira tulivu, epuka mikusanyiko ya watu, vaa barakoa, nawa mikono na tumia kitakasa mikono.

Dar es Salaam. Unayotakiwa kufanya ikiwa unaishi kwenye eneo lenye maambukizi makubwa ya COVI-19 ni pamoja na kuhakikisha unapata hewa safi, mazingira tulivu, epuka mikusanyiko ya watu, vaa barakoa, nawa mikono na tumia kitakasa mikono.