July 5, 2024

Daniel Samson

Bajeti wizara ya elimu yashuka tena

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako ameliomba Bunge liidhinishe Sh1.34 trilioni kwa ajili matumizi ya mwaka 2020/2021 ikiwa ni pungufu kidogo kwa asilimia 2.8 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka huu unaoishia mwezi Juni.