Hatma fedha za wateja wa benki ya FBME bado bado sana
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema hatma ya fedha za wateja wa benki ya FBME iliyofungwa itajulikana mara baada ya zoezi la ufilisi na uuzaji wa mali za benki hiyo kukamilika.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema hatma ya fedha za wateja wa benki ya FBME iliyofungwa itajulikana mara baada ya zoezi la ufilisi na uuzaji wa mali za benki hiyo kukamilika.
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) lilipata hasara ya Sh60 bilioni katika mwaka wa fedha wa 2019/20 lakini mapato na matumizi ya shirika hilo yamekuwa yakiongezeka.
Unakusaidia kupanga bei na kutokufanya makosa ambayo watoa huduma waliopo wanayafanya.
Ni pamoja na kuepuka maneno ya kejeli pale wanaposhindwa kununua bidhaa au kuchagua huduma yako.
Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema katika bajeti ya mwaka 2021/22 wizara yake itaweka mikakati mbalimbali ya kukuza na kuimarisha sekta ya umwagiliaji ikiwemo kubadilisha mfumo wa utendaji wa Tume ya Umwagiliaji (NIC) ili kuondokana na matatizo
Unaweza kusema ni maumivu kwa wakulima wa Tanzania baada ya bei ya mahindi kushuka kwa asilimia 39.5 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja uliolipita
Ni baada ya kujiridhisha kama miundombinu inayohakikisha usalama wao na mali zao ipo katika maeneo husika.
Bei ya petroli na dizeli imepanda kwa miezi miwili mfululizo nchini Tanzania, jambo linalowafanya wamiliki wa vyombo vya moto kutoboa zaidi mifuko yao ili kuipata nishati hiyo muhimu katika ukuaji wa shughuli za kiuchumi.
TCRA yasema usitishaji huo utatoa nafasi kwa watoa huduma kupanga upya bei za vifurushi kwa ufanisi na kufanya uchambuzi wa kina kwa ajili ya kulinda maslahi ya watumiaji.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mwenendo wa sasa wa kufunga biashara na kufungia akaunti unaua walipa kodi na kuwafanya wahamie nchi za jirani.
Inaweza kuwa ni kwa njia ya zawadi, kuwajulisha pale bidhaa na huduma mpya zinapoanzishwa au kutoa bidhaa na huduma bora kila siku.
Rais asema ripoti ya CAG imebaini uwepo wa ubadhirifu wa Sh3.6 bilioni na kwamba bosi wa mamlaka hiyo anapaswa kusimamishwa kupisha uchunguzi.
CAG Charles Kichere amebaini pia kwa miaka mitano shirika hilo lilikuwa likipata hasara.
Uchambuzi wa awali uliofanywa na Nukta Habari umebaini kuwa huduma hiyo mpya inapunguza hatari ya kutuma zaidi kiwango cha “ya kutolea” ama kutuma kiasi pungufu na kinachotakiwa.
Mwenyekiti wa machinga mkoani Mwanza amesema awali walipanga kuadhimisha ‘Machinga Day’ kila mwaka lakini wamebadili baada ya kifo cha Rais John Magufuli.
Wamesema aliwapa uhuru wa kuendesha biashara zao bila kusumbuliwa na aliwasaidia kupata vitambulisho vya ujasiriamali.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Geoffrey Mwambe ametoa onyo kali kwa wawekezaji wa viwanda nchini wanaowabagua na kutokuwatumia kikamilifu wataalamu wa ndani ya nchi katika shughuli zao
Imepungua hadi wastani wa asilimia 6.2 katika mwaka ulioishia Januari 2021 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 6.6 katika kipindi kama hicho mwaka 2020.
Wakulima wa mahindi nchini Tanzania wamepoteza zaidi ya Sh30,000 kwa kila gunia la kilo 100 ndani ya mwaka mmoja uliopita, huku bei ya zao hilo la chakula ikishuka kidogo mfululizo kwa miezi miwili iliyopita.
Mtumiaji atatakiwa kuthibitisha akaunti yake kwa njia ya anuani ya barua pepe ambapo atatumiwa neno siri la kuthibitisha.