Jinsi ya kujiandaa ikiwa mtu atapata COVID-19 nyumbani
Hakikisha una mawasiliano ya simu ya watoa huduma, vifaa vya kujikinga na vyakula vitakavyokusaidia wakati unaumwa.
![](https://cms.nukta.co.tz/wp-content/uploads/2021/03/ff8df4a3d0ccb6fce00c4032c1c39251.jpg)
Dar es Salaam. Ufanye nini kujianda ikiwa utapata ugonjwa wa Corona? Hakikisha una mawasiliano ya simu ya watoa huduma, vifaa vya kujikinga na vyakula vitakavyokusaidia wakati unaumwa.