Kenya yarudisha mzigo wa dhahabu, mamilioni ya fedha yaliyoibwa Tanzania miaka 15 iliyopita
Dhahabu hiyo ni kilo 35.34 iliyotoroshwa kupitia uwanja wa ndege wa KIA kabla ya kumatwa Nairobi, Kenya Februari 15, 2018 ambapo Rais Magufuli avipongeza vyombo vya ulinzi vya Kenya kwa kazi viliyofanya.
Corona: Hatari inayowakabili wavuvi, wafanyabiashara wa samaki
Ujenzi wa nyumba unaoweza kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Corona ilivyopukutisha mifuko ya wafanyabiashara wa samaki Kanda ya Ziwa
Tanzania yapokea ndege ya tano aina ya De Havilland
Vituo zaidi ya 500 kutoa chanjo ya Corona Tanzania