Majaliwa aagiza mradi wa umeme wa Julius Nyerere ukamilike kwa wakati
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) na amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Dk Tito Mwinuka asimamie mradi huo ili ukamilike kwa wakati.
Corona: Hatari inayowakabili wavuvi, wafanyabiashara wa samaki
Ujenzi wa nyumba unaoweza kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Corona ilivyopukutisha mifuko ya wafanyabiashara wa samaki Kanda ya Ziwa
Tanzania yapokea ndege ya tano aina ya De Havilland
Vituo zaidi ya 500 kutoa chanjo ya Corona Tanzania