October 7, 2024

Bajeti wizara ya elimu yashuka tena

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako ameliomba Bunge liidhinishe Sh1.34 trilioni kwa ajili matumizi ya mwaka 2020/2021 ikiwa ni pungufu kidogo kwa asilimia 2.8 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka huu unaoishia mwezi Juni.