October 7, 2024

Wagonjwa wa Corona wafikia 24 Tanzania

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema kuna ongezeko la wagonjwa wengine wanne wa Corona kutoka Dar es Salaam, Mwanza na Zanzibar na kufanya idadi ya walioambukizwa ugonjwa huo kufikia 24 tangu ulipoingia nchini ka

Corona kuporomosha uchumi wa dunia

Umoja wa Mataifa (UN) umesema uchumi wa dunia unaweza kushuka kwa asilimia 0.9 mwaka huu wa 2020 kutokana na janga la virusi vya Corona (COVID-19) ukichagizwa zaidi na kushuka kwa uzalishaji wa dunia na vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na baadhi ya nchi i