October 8, 2024

Muhogo kinara mazao ya kudumu Tanzania

Ripoti ya Mwaka ya Utafiti wa Sekta ya Kilimo ya mwaka 2016/17 (AAS 2016/2017) iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inaonyesha kuwa uzalishaji wa muhogo ulikuwa asilimia 24.2 ya uzalishaji wa mazao yote ya kudumu uliofanyika mwaka 2016/2017.

Morogoro inavyokimbiza uzalishaji wa nyanya

Kwa mujibu wa ripoti ya Utafiti wa Mwaka wa Sekta ya Kilimo (AAS 2016/2017) iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mwaka 2016/2017 mkoa huo ulizalisha tani 155,745 sawa na asilimia 65.5 ya nyanya zote zilizozalishwa mwaka huo.