Dunia inakabiliwa na uhaba wa vifaa vya kujikinga na virusi vya Corona
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuwa ulimwengu unakabiliwa na uhaba wa vifaa maalum vya kufunika uso pamoja na vifaa vingine vya kujikinga na virusi vya Corona, jambo linaloweza kuzidi idadi ya vifo vya watu wanaoambukizwa ugonjwa huo.
Corona: Hatari inayowakabili wavuvi, wafanyabiashara wa samaki
Ujenzi wa nyumba unaoweza kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Corona ilivyopukutisha mifuko ya wafanyabiashara wa samaki Kanda ya Ziwa
Tanzania yapokea ndege ya tano aina ya De Havilland
Vituo zaidi ya 500 kutoa chanjo ya Corona Tanzania