Upanuzi wa uwanja wa ndege wa Musoma kuongeza kasi ya utalii kanda ya Ziwa
Naibu Waziri wa Ujenzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa aliyekuwa akizungumza leo (Februari 4, 2020) bungeni jijini Dodoma, amesema kabla ya kuanza upanuzi wa uwanja huo, watawalipa wananchi fidia ili waondoke katika maeneo yanayozunguka uwanja huo.
Corona: Hatari inayowakabili wavuvi, wafanyabiashara wa samaki
Ujenzi wa nyumba unaoweza kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Corona ilivyopukutisha mifuko ya wafanyabiashara wa samaki Kanda ya Ziwa
Tanzania yapokea ndege ya tano aina ya De Havilland
Vituo zaidi ya 500 kutoa chanjo ya Corona Tanzania