Rais Samia ataka udhibiti zaidi madini ya Tanzanite
Aitaka wizara ya madini kukaa na wawekezaji kujadiliana njia nzuri ya kutengeneza mfumo huo wa kiudhibiti hususan katika mauzo.
Aitaka wizara ya madini kukaa na wawekezaji kujadiliana njia nzuri ya kutengeneza mfumo huo wa kiudhibiti hususan katika mauzo.
Daktari huyo amesema kwa sasa nchi za jirani ziko kwenye wakati mgumu wa kukabiliana na Covid-19 ingawa hapa nchini wengi “wamerelax” (hawafuati kanuni za afya).
Serikali yapendekeza kila laini kulipiwa Sh10 hadi Sh200 kila siku kulingana na uwezo wa mtumiaji kuongeza salio.
Imepunguza kodi kwa washidi na kuongeza kodi kwa baadhi ya michezo ili kukuza sekta ya michezo.
Adhabu hizo zinapendekezwa kushushwa mara tatu kutoka Sh30,000 kwa kosa moja hadi Sh10,000
Madiwani wao wataanza kupatiwa posho zao kwenye akaunti ili kuwaondolea usumbufu na kuongeza ufanisi kazini.
Wengi wanatarajia bajeti kuu ya Serikali mwaka 2021/22 itawasaidia kujikwamua katika lindi la umaskini kwa kutoa fursa zaidi za ajira, kupunguza mzigo wa kodi.
Sekta mbalimbali zikiwemo sekta ya sanaa na malazi ziliathiriwa na ugonjwa wa corona.
Ndani ya mwaka mmoja deni hilo limeongezeka kwa zaidi ya Sh5 trilioni kutokana na uwekezaji katika miradi ya maendeleo.
Habari isiyo ya ukweli inaweza kusababisha taharuki katika jamii endapo itaenea.
Amesema serikali itajenga shule zakufundisha masomo ya sayansi kila mkoa kwa ajili ya wasichana.
Teknolojia hiyo inatarajiwa kuondoa changamoto za kimazingira zainazosababishwa na shhughuli za binadamu.
Mazungumo hayo yanatarajiwa kufanywa Juni 15 mwaka huu katika siku ya tatu ya ziara yake atakayoifanya Mwanza kuanzia Juni 13, 2021.
Mama mjamzito anatakiwa kuondoa mzingira yote yatakayompa mawazo ikiwa ni pamoja na uhakika wa hospitali ya kujifungulia.
Ni zilizozingatia uwiano wa kamera, uwezo wa kumbukumbu na wa betri.
Wengi kwa sasa wanaona sayansi ni kama fursa hivyo wanachangamkia masomo hayo.
Tanzania na Burundi bado hazijaanza kutoa chanjo dhidi ya Corona kwa raia wake.
Ni pamoja na faragha, kusoma tarehe ya mwisho wa matumizi na saizi.
Mapato yatokanayo na sekta ya utalii Tanzania yameshuka zaidi ya mara tatu ndani ya mwaka mmoja kutokana na kupungua kwa idadi ya watalii wa kimataifa kulikosababishwa na janga la Corona.
Serikali imetoa tahadhari kwa watu wanaoishi kando ya ziwa hilo na kuwataka kuchukua hatua ikiwa ni pamoja na kufanya usafi wa mazingira, kupanda miti na kuepuka shughuli za kibinadamu kando ya ziwa.