Majaliwa awapa mtihani wanaotaka uchumi wa kati 2025
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ili Tanzania ifikie lengo la kuwa nchi ya kipato cha kati ifikapo 2025 inayoongozwa na uchumi wa viwanda, haina budi kutimiza vigezo mbalimbali ikiwemo cha ukuaji wa uchumi kwa kiwango cha asilimia 12 kwa mwaka.
Corona: Hatari inayowakabili wavuvi, wafanyabiashara wa samaki
Ujenzi wa nyumba unaoweza kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Corona ilivyopukutisha mifuko ya wafanyabiashara wa samaki Kanda ya Ziwa
Tanzania yapokea ndege ya tano aina ya De Havilland
Vituo zaidi ya 500 kutoa chanjo ya Corona Tanzania