Heslb yatakiwa kutoa mikopo kwa wanafunzi waliosomeshwa kwa ufadhili
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako, ameitaka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kuwapa mikopo wanafunzi wote ambao walikua wakisoma shule binafsi kwa ufadhili.
Corona: Hatari inayowakabili wavuvi, wafanyabiashara wa samaki
Ujenzi wa nyumba unaoweza kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Corona ilivyopukutisha mifuko ya wafanyabiashara wa samaki Kanda ya Ziwa
Tanzania yapokea ndege ya tano aina ya De Havilland
Vituo zaidi ya 500 kutoa chanjo ya Corona Tanzania