Sababu za wanyama kuhusika katika utengenezaji wa chanjo ya Corona
Ni kwa sababu wanaonyesha matokeo haraka ya majaribio ya utafiti wa chanjo.
![](https://cms.nukta.co.tz/wp-content/uploads/2021/03/ac19193b2760338bad4154eac4bb7f88.jpg)
Dar es Salaam. Zipo sababu mbalimbali zinazowafanya watafiti kutumia wanyama wakati wa utengenezaji wa chanjo mbalimbali ikiwemo ya COVID-19. Sababu mojawapo ni kuwa inawasaidia watafiti kufahamu kwa undani kuhusu ugonjwa husika na jinsi chanjo inavyoweza kufanya kazi ikianza kutumiwa na binadamu.