Ujumbe maalum kwa wasiopenda kuvaa barakoa
Uvaaji barakoa wakati huu wa janga la Corona unasaidia kupunguza hatari ya kupata maambukizi ya ugonjwa huo kwa asilimia 80.
![](https://cms.nukta.co.tz/wp-content/uploads/2021/03/907d596eaca209ca801b93a936ad9830.jpg)
Dar es Salaam. Kama hujaanza kuvaa barakoa anza leo. Uvaaji barakoa wakati huu wa janga la Corona unasaidia kupunguza hatari ya kupata maambukizi ya ugonjwa huo kwa asilimia 80.